Ushindi huu wa Yanga ambao umepeleka furaha Jangwani ulifanikishwa kwa Magoli yaliyofungwa na Didier Kavumbagu na Hamis Kiiza na kuifanya Yanga ifikishe Jumla ya Pointi 25.
Kikosi cha Yanga kilichopeleka kilio Azam
Uwanja wa Jamhuri, Morogoro ulishuhudiwa Kuvunjwa kwa Rekodi ya Timu ya Simba ya Kutofungwa tangu kuanza kwa Ligi. Rekodi hiyo ilivunjwa kwa msaada wa washambuliaji Mohamed Mkopi na Hussein javu wa timu ya Mtibwa.
No comments:
Post a Comment