WEZESHA WANAWAKE

WEZESHA WANAWAKE

Saturday, May 9, 2015

TIBA YA MOYO BILA UPASUAJI MUHIMBILI - MAENDELEO YA KITEKNOLOJIA

"CATH LAB" Mtambo unaotumika Kufanya Uchunguzi, Kuzibua Mishipa inayopeleka damu kwenye Moyo na kuziba matundu ya Moyo bila Kufanya Upasuaji Ulioko Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Idara ya Tiba na Upasuaji Moyo.

Katika hatua nyingine ya kimaendeleo katiba tiba, Kitengo cha Tiba ya Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imefanikiwa kufanya Tiba ya Moyo kwa kuziba Matundu ya Kwenye Moyo Bila Kufanya Upasuaji wa Kifua. Hii inatokana na Maendeleo ya Kiteknolojia na matumizi ya Mtambo wa kufanya Uchunguzi, Kuzibua Mishipa ya Damu na Kuziba Matundu ya kwenye Moyo.

Tiba hii imefanyila lwa Kushirikiana na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Prince Sultan Cardiac Centre ya Riyadh Saudi Arabia.

Hii ni hatua nyingine kubwa katika nyanja ya Tiba na Afya baada ya Kushuhudia ushirikiano kama huu na Hospitali mbalimbali za kimataifa kwa kutumia mifumo ya Habari kama Video Conference ambapo madaktari waliweza kufanya upasuaji nchini kwa kushirikiana na Madaktari bingwa wenzao walioko nje ya Nchi.

Baada ya Uzibaji huu wa Moyo bila upasuaji, Kaimu Murugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dr. Hussein Kidanto, amesema zaidi ya wagonjwa  ishirini (20) wanatarajiwa kupata Tiba ya Moyo kwa Utatatibu huu.

Sunday, September 29, 2013

MISS PHILIPPINES ATUNUKIWA TAJI LA MISS WORLD 2013

 Megan Young ambaye ni Miss Philippines ametunukiwa taji la kuwa Miss World mwaka 2013 katika fainali iliyofanyika Indonesia, Nusa Dua Kwenye Kisiwa cha Bali  chini ya ulinzi mkali kutokana na upinzani mkubwa kutoka kwa Waisilamu wenye msimamo mkali wanaopinga mashindano hayo.

Megan Young, Miss Philippines baada ya Kuvikwa Taji la Miss World 2013, siku ya Jumamosi Septemba 28, 2013
Miss world 2013, Megan Young akipongezwa na Miss World 2012,  Yu Wenxia aliyemaliza Muda wake

Miss World 2013 Megan Young akiwashukuru watazamaji baada ya kutunukiwa Taji huku akiwa na Mshindi wa Pili na wa Tatu wa Shindano hilo Miss France na Miss Ghana

Miss World akiwa na washiriki wengine mara baada ya Kutangazwa Mshindi wa Shindano hilo la Dunia, 2013
Miss Philippines akipita kwa Mwendo wa kunyata "Cat Walk" kabla ya kutangazwa mshindi wakati kinyang'anyiro kikiendelea
Ulinzi Mkali nje ya jengo yalimofanyika Mashindano ya Miss World 2013

Askari wakifanya doria kuzunguka Jengo yalimofanyika Mashindano ya Miss World 2013
Waislamu wenye msimamo Kali wakipinga kufanyika kwa Mashindano hayo wakiyaona kuwa ni haramu

Waislamu wenye msimamo mkali wakipinga kufanyika kwa mashindano hayo 

Thursday, July 18, 2013

Happy Mandela International Day!

The Bullaz wishes Nelson Mandela quicker recovery as he celebrates hIs 95th Birthday while in Bed!

Sunday, June 9, 2013

TUZO - KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS


MSANII BORA WA KIUME

Diamond

VIDEO BORA YA MWAKA

Ommy Dimpoz - Baadae

WIMBO BORA WA HIP HOP

Dear God - Kala Jeremiah

WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI

Valu valu - Jose Chamelion

WIMBO BORA WA MWAKA WA HIP HOP

Ney Wa Mitego - Sema Nao

MTUNZI BORA WA MASHAIRI HIP HOP NA MSANII BORA WA HIP HOP

Kala Jeremiah

MSANII BORA WA HIP HOP

Kala Jeremiah

WIMBO BORA WA RAGGAE/DANCEHALL

Dabo - Predator

BENDI BORA

Mashujaa Bendi

RAPA BORA WA BENDI

Ferguson

MSANII BORA WA KIUME BENDI

Chalz Baba

MSANII BORA WA KIKE BENDI

Luiza Mbutu

MTAYARISHAJI WA WIMBO BORA WA MWAKA BENDI

Amoroso

WIMBO BORA WA BENDI

Mashujaa Bendi na wimbo wa "Risasi kidole"

MSANII BORA ANAYECHIPUKIA

Ali Nipishe

WIMBO BORA WA BONGO POP

Ommy Dimpoz Featuring Vanessa Mdee

MSANII BORA WA KIUME BONGO FLAVA

Diamond

MTAYARISHAJI BORA WA MWAKA BONGO FLAVA

Man Water

MTUNZI BORA WA MASHAIRI BONGO FLAVA

Ben Pol

WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI

Mrisho Mpoto Feat. Dito - Chocheeni kuni.

MSANII BORA WA KIKE - TAARAB

Isha Mashauzi

MSANII BORA WA KIUME - TAARAB

Mzee Yusuf

MTAYARISHAJI WA WIMBO BORA WA MWAKA - TAARAB

Enrico

MTUNZI BORA WA MASHAIRI YA TAARAB

Thabit Abdul

KUNDI BORA

Jambo Squad

 

MSANII BORA WA KIUME

Diamond

VIDEO BORA YA MWAKA

Ommy Dimpoz - Baadae

WIMBO BORA WA HIP HOP

Dear God - Kala Jeremiah

WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI

Valu valu - Jose Chamelion

WIMBO BORA WA MWAKA WA HIP HOP

Ney Wa Mitego - Sema Nao

MTUNZI BORA WA MASHAIRI HIP HOP NA MSANII BORA WA HIP HOP

Kala Jeremiah

MSANII BORA WA HIP HOP

Kala Jeremiah

WIMBO BORA WA RAGGAE/DANCEHALL

Dabo - Predator

BENDI BORA

Mashujaa Bendi

RAPA BORA WA BENDI

Ferguson

MSANII BORA WA KIUME BENDI

Chalz Baba

MSANII BORA WA KIKE BENDI

Luiza Mbutu

MTAYARISHAJI WA WIMBO BORA WA MWAKA BENDI

Amoroso

WIMBO BORA WA BENDI

Mashujaa Bendi na wimbo wa "Risasi kidole"

MSANII BORA ANAYECHIPUKIA

Ali Nipishe

WIMBO BORA WA BONGO POP

Ommy Dimpoz Featuring Vanessa Mdee

MSANII BORA WA KIUME BONGO FLAVA

Diamond

MTAYARISHAJI BORA WA MWAKA BONGO FLAVA

Man Water

MTUNZI BORA WA MASHAIRI BONGO FLAVA

Ben Pol

WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI

Mrisho Mpoto Feat. Dito - Chocheeni kuni.

MSANII BORA WA KIKE - TAARAB

Isha Mashauzi

MSANII BORA WA KIUME - TAARAB

Mzee Yusuf

MTAYARISHAJI WA WIMBO BORA WA MWAKA - TAARAB

Enrico

MTUNZI BORA WA MASHAIRI YA TAARAB

Thabit Abdul

KUNDI BORA

Jambo Squad

 

Monday, January 28, 2013

MSANII WA FILAMU LULU AACHIWA KWA DHAMANA

Mahakama Kuu ya Tanzania imekubali dhamana ya Msanii Elizabeth Michael au maarufu kama  Lulu iwapo atatimiza masharti yote ya dhamana hiyo.
Elizabeth Michael "Lulu"
 
Lulu alishitakiwa na kutuhumiwa kuhusu Kifo cha Msanii mwingine wa Filamu Nchini Marehemu Steven Kanumba. Toka wakati huo, Lulu amekuwa Chini ya Ulinzi mahabusu kutokana na kesi hiyo inayomkabili. Dhamani hii kwa mara ya kwanza itamuwezesha Lulu kuishi nje ya Mahabusu tangu mwezi wa Aprili 2012 alipowekwa chini ya Ulinzi Mahabusu.
 
Lulu akiwa Mahakama kuu ya Tanzania Leo
 
Furaha ya Lulu haikuweza kufichika akiwa mahakamani Leo
Maisha ya Lulu akiwa chini ya Ulinzi wakati kesi ikiwa Mbichi
 
Shauri la Lulu wakati likiwa katika Mahakama ya Kisutu kabla ya Kupelekwa Mahakama Kuu
 Lulu akirudi mahabusu wakati shauri lake likiwa katika hatua za awali
Lulu kabla ya kukutwa na misukosuko ya Kesi inayo mkabili
 
Kwa amri hii ya mahakama Kuu ya Tanzania iliyoruhusu dhamana ya Elizabeth Michael kwa Masharti matano, Lulu hatimaye atarudi uraiani kujumuika na familia, Marafiki, ndugu, Jamaa na mashabiki wake baada ya kuwa nao mbali kwa takribani miezi kumi

Wednesday, January 23, 2013

Sad Ending: Different Strokes Crew

 
From Left: The Late Gary Coleman (Anold), The Late Dana Plato (Kimberly), Todd Bridges (Willis)
Sitting the Late Conrad Bain (Philip Drummond)  

From Left: The Late Dana Plato (Kimberly), Todd Bridges (Willis)
the Late Conrad Bain (Philip Drummond) and The Late Gary Coleman (Anold)
 "What'chu talkin' 'bout, Willis?"The Late Gary Coleman (Anold)
 


 The Only Surving member of the Four Actors,  Todd Bridges (Willis)
The Late Conrad Bain (Philip Drummond)