WEZESHA WANAWAKE

WEZESHA WANAWAKE

Sunday, April 15, 2012

 Piermario Morosini(25)
Mchezaji wa kiungo wa timu ya Livorno ya Itali Piermario Morosini(25) amefariki Dunia baada ya Kuanguka akiwa uwanjani dakika ya 31 wakati timu yake ikipambana na Pescara katika  Serie B. Morosini alifariki alipofikishwa Hospitali katika juhudi za kuokoa maisha yake. Tukio hili linakuja wiki nne tu baada ya tukio kama hili kumtokea mchezaji wa Bolton kwenye FA Cup Uingereza Fabrice Muamba ambaye juhudi za kuokoa maisha yake zilifanikiwa. Baada ya kuanguka Piermario Morosini alijaribu kuinuka na kuanguka tena
Fabrice Muamba (24)

No comments:

Post a Comment